Placeholder text

MUNGU anaponya

Product Image: MUNGU anaponya

MUNGU anaponya

0 - Default Title
Description
Ni nani asiye na haja ya uponyaji ?Nguvu kubwa mno isiyokadiriwa na kuwaziwa inatenda kazi ndani ya kila mmoja wetu. Ni nguvu ya upendo, nguvu ya Mungu. Gabriele anatoa maelezo kitabuni humu kwamba afya na uponyaji vinategemea mpango wa msingi wa utu wetu wa ndani na kwamba hisia na fikra zetu vina ushawishi mkubwa juu ya hali yetu njema, ambayo tunaweza kuamsha ndani mwetu kwa kumgeukia Mungu, chemchem ya nguvu ndani mwetu.Kwa kutumia maneno yenye kugusa moyo na inayojaa ujuzi, kitabu hiki kinatuelekeza jinsi ya kuamsha nguvu za kimungu ndani mwetu ili kutia nguvu nafsi na mwili wetu. Hayo haimzuii kamwe mtu kumwendea daktari wake.
Product details
Binding:
Paperback
Number of Pages:
118
Publication Date:
2022-12-05
Publisher:
Gabriele Publishing House
Languages:
Original: Swahili
ISBN10:
3964463779
ISBN13:
9783964463777
GPSR Manufacturer Reference:
Minimum Reading Age:
18
Maximum Reading Age:
120
Weight:
119 g
Height:
127 cm
Width:
178 cm
Thickness:
7 cm
Currently sold out