Placeholder text

Maisha niliyochagua mimi mwenyewe

Maisha niliyochagua mimi mwenyewe Lifestyle

Maisha niliyochagua mimi mwenyewe

0 - Default Title
Description
Mada ya kitabu hiki inamaanisha nini ? Maisha ni nini kwa kweli? Kwa nini kila mtu ana maisha isiyo na kifani ? Je , kwa kweli, bahati ipo ? Sababu gani nilizaliwa katika familia hii bali si katika nyingine yote ile ? Kwa nini ninakutana tu na aina fulani ya watu ? Je ninakabiliwa na majaliwa yangu ? Ni nani aliyepangilia tangu awali matukio ya maisha yangu ? Ni vipi ninaweza kubadili mpangilio huo ?Gabriele, nabii na mjumbe wa Mungu anatoa maelezo kitabuni humu kwamba uzima ni zaidi ya yale tunayohisi kwa jumla. Anatusaidia kuelewa kwa kina matukio ya maisha yetu na anatufundisha jinsi ya kubadili mwelekeo wao.Vipengele vya mambo yaliyomo :Mungu ni uzima usio na mwisho na wa milele ambamo ulimwengu ulitokea.Uajibikaji wa mwanadamu kuhusu mwenendo, maadili yake, mwelekeo wa maisha yake , kuhusu madhara makali inayompata na tena kuhusu nafsi yake katika makao ya nafsi.Kanuni ya sababuKuelewa na kuchanganua maelekezo itolewayo na nguvu za mchanaFaidika na siku zako.
Product details
Binding:
Paperback
Number of Pages:
64
Publication Date:
2023-07-03
Publisher:
Gabriele Publishing House
Languages:
Original: Swahili
ISBN10:
3964464104
ISBN13:
9783964464101
GPSR Manufacturer Reference:
Minimum Reading Age:
18
Maximum Reading Age:
150
Weight:
70 g
Height:
127 cm
Width:
178 cm
Thickness:
4 cm
Currently sold out